Luka 7:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Ikawa khalafu yake, akaenda mji uitwao Nain, wanafunzi wake na watu wengi wakafuatana nae. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Baadaye kidogo, Yesu alikwenda katika mji mmoja uitwao Naini, na wafuasi wake na kundi kubwa la watu waliandamana naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Baadaye kidogo, Yesu alikwenda katika mji mmoja uitwao Naini, na wafuasi wake na kundi kubwa la watu waliandamana naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Baadaye kidogo, Yesu alikwenda katika mji mmoja uitwao Naini, na wafuasi wake na kundi kubwa la watu waliandamana naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Baadaye kidogo, Isa alienda katika mji mmoja ulioitwa Naini. Nao wanafunzi wake na umati mkubwa wa watu walienda pamoja naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Baadaye kidogo, Isa alikwenda katika mji mmoja ulioitwa Naini. Nao wanafunzi wake na umati mkubwa wa watu walikwenda pamoja naye. Tazama sura |