Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 6:41 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

41 Bassi, mbona watazama kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako, na boriti iliyomo jichoni mwako huioni?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 “Mbona unatazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, wala huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 “Mbona unatazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, wala huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe?

Tazama sura Nakili




Luka 6:41
18 Marejeleo ya Msalaba  

MSIHUKUMU, illi msihukumiwe


Walikuwa na visamaki vichache; akavibariki, akasema, na hivi waviandae.


Mwanafunzi hampiti mwalimu wake; illa killa aliyekhitimu atakuwa sawa na mwalimu wake.


Au wawezaje kumwambia ndugu yako, Ndugu, niache niondoe kibanzi kilichomo jichoni mwako, na wewe mwenyewe huioni boriti iliyomo jichoni mwako? Mnafiki, toa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako, ndipo utakapoona vema kutoa kibanzi jichoni mwa ndugu yako.


Nao wakazidi kumhoji, akajiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


KWA hiyo, ee mtu uhukumuye uwae yote, huna udhuru; kwa maana katika hayo uhukumuyo mwingine wajihukumu nafsi yako; kwa maana wewe uhukumuye unafanya yale yale.


Maana hujiangalia, kiisha huendazake, marra akasahau jinsi alivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo