Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 6:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

37 msipatilize, nanyi hamtapatilizwa; achilieni, nanyi mtaachiliwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 “Msiwahukumu wengine, nanyi hamtahukumiwa; msiwalaumu wengine, nanyi hamtalaumiwa; wasameheni wengine, nanyi mtasamehewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 “Msiwahukumu wengine, nanyi hamtahukumiwa; msiwalaumu wengine, nanyi hamtalaumiwa; wasameheni wengine, nanyi mtasamehewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 “Msiwahukumu wengine, nanyi hamtahukumiwa; msiwalaumu wengine, nanyi hamtalaumiwa; wasameheni wengine, nanyi mtasamehewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 “Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa. Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, nanyi mtasamehewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 “Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa. Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, nanyi mtasamehewa.

Tazama sura Nakili




Luka 6:37
21 Marejeleo ya Msalaba  

Nae hakutaka, akaenda, akamtupa kifungoni, hatta atakapoilipa ile deni.


Wa kheri wenye rehema: maana hawo watarehemiwa.


Nanyi, killa msimamapo na kusali, sameheni, kama mkiwa na neno juu ya mtu: illi Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa yenu.


Bassi nikiisha kumrudi, nitamfungua.


Bassi mwe na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma. Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa:


Mungu wa Ibrahimu na Isaak na Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu, ambae ninyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake afunguliwe.


tena mwe wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkiachiliana, kama na Mungu katika Kristo alivyowaachilia ninyi.


mkichukuliana, na kuachiliana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mtu; jinsi Kristo alivyowaachilieni, vivyo hivyo na ninyi.


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Na huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Msinungʼunikiane, ndugu, msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo