Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 6:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Bassi mwe na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma. Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili




Luka 6:36
7 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi mwe ninyi wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


Bali wapendeni adui zenu, katendeni kwa ihsani, kopeshani, bali kutumaini kupata kitu tena: na thawabu yenu itakuwa nyingi, na mtakuwa wana wa Aliye juu sana; kwa sabahu Yeye yu mwema kwa watu wasio na shukrani, na waovu.


msipatilize, nanyi hamtapatilizwa; achilieni, nanyi mtaachiliwa.


Uchungu wote na hasira na ghadhabu na kelele na matukano yaondoke kwenu, pamoja na killa ubaya;


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole,, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina wala unafiki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo