Luka 6:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Yesu akajibu, akawaambia, Hatta neno hili hamkulisoma, alilolitenda Daud, alipokuwa na njaa, yeye nao waliokuwa pamoja nae, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma jinsi alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma jinsi alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma jinsi alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Isa akawajibu, “Je, ninyi hamjasoma alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake walikuwa na njaa? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Isa akawajibu, “Je, ninyi hamjasoma kamwe alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake walikuwa na njaa? Tazama sura |