Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 6:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Bali ole wemi ninyi mlio na mali: kwa sababu mmekwisha kuwa na faraja yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Lakini ole wenu nyinyi mlio matajiri, maana mmekwisha pata faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Lakini ole wenu nyinyi mlio matajiri, maana mmekwisha pata faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Lakini ole wenu nyinyi mlio matajiri, maana mmekwisha pata faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 “Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri, kwa sababu mmekwisha kupokea faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 “Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri, kwa sababu mmekwisha kupokea faraja yenu.

Tazama sura Nakili




Luka 6:24
20 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana: maana hujiumbua nyuso zao, illi waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambieni, wamekwisha kupata thawabu yao.


Bassi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika sunagogi na njiani, illi watukuzwe na watu. Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao.


Tena usalipo, usiwe kama wanafiki: kwa maana wapenda kusali wakisimama katika sunagogi na katika pembe za njia, illi waonekane na watu. Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao.


Ole wenu ninyi mlioshiba: kwa sababu mtaona njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka sasa: kwa sababu mtaomboleza na kulia.


Uwaagize walio matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, wala wasitumainie utajiri usio yakini, bali Mungu aliye hayi atupae vitu vyote kwa wingi, tuvitumie kwa furaha;


Bali ninyi mmemvunjia heshima maskini. Je! matajiri hawawaonei ninyi na kuwavuta mbele ya viti vya hukumu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo