Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 6:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Makutano yote wakatafuta kumgusa: kwa maana nguvu zilikuwa zikimtoka, zikawaponya wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Watu wote walitaka kumgusa, kwa maana nguvu ilikuwa inatoka ndani yake na kuwaponya wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Watu wote walitaka kumgusa, kwa maana nguvu ilikuwa inatoka ndani yake na kuwaponya wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Watu wote walitaka kumgusa, kwa maana nguvu ilikuwa inatoka ndani yake na kuwaponya wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Watu wote walikuwa wanajitahidi kumgusa kwa sababu nguvu zilikuwa zikimtoka na kuwaponya wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Watu wote walikuwa wanajitahidi kumgusa kwa sababu nguvu zilikuwa zikimtoka na kuwaponya wote.

Tazama sura Nakili




Luka 6:19
15 Marejeleo ya Msalaba  

wakamsihi waguse hatta pindo la vazi lake; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.


Maana aliponya wengi, hatta wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.


Marra Yesu akifahamu nafsini mwake kwamba nguvu zimemtoka, akageuka kati ya makutano, akanena, Ni nani aliyenigusa mavazi yangu?


Na killa alikokwenda, akiingia vijijini, au mijini, au mashambani, wakawaweka wagonjwa sokoni, wakamsihi waguse walao upindo wa vazi lake: nao wote waliomgusa wakapona.


Wakalika Bethsaida, wakamletea kipofu, wakamsihi amguse.


Hatta siku moja ya siku zile alikuwa akifundisha, na Mafarisayo na waandishi wameketi, waliokuwa wametoka katika killa kijiji cha Galilaya, na cha Yahudi, na Yerusalemi; uweza wa Bwana ulikuwa pamoja nae apate kuwaponya.


nao waliosumbuliwa na pepo wachafu; wakaponywa.


hatta wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizogusa mwili wake, magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka.


Bali ninyi m mzao mteule, ukubani wa kifaume, taifa takatifu, watu wa milki, mpate kutangaza fadhili zake aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo