Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 6:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 nao waliosumbuliwa na pepo wachafu; wakaponywa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Walikuwa wamekuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Walikuwa wamekuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.

Tazama sura Nakili




Luka 6:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na mwanamke Mkauanaya wa mipaka ile akatokea, akampaazia sauti, akinena, Unirehemu. Bwana, Mwana wa Daud; binti yangu amepagawa sana na pepo.


Bwana, mrehemu mwana wangu, kwa kuwa hushikwa na kifafa, na kuteswa vibaya: maana marra nyingi huanguka motoni, na marra nyingi majini.


Akatelemka pamoja nao, akasimama panapo uwanda, pamoja na kundi la wanafunzi wake, na kundi la watu waliotoka Yahudi wote, na Yerusalemi, na pwani ya Turo na Sidon, waliokuja wamsikilize na kuponywa maradhi zao;


Makutano yote wakatafuta kumgusa: kwa maana nguvu zilikuwa zikimtoka, zikawaponya wote.


Nayo makutano ya miji ilioyo kando kando ya Yerusalemi yakakutanika, wakileta wagonjwa, nao walioudhiwa na pepo wachafu: nao wote wakaponywa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo