Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 6:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Yuda wa Yakobo; na Yuda Iskariote, ndiye aliyekuwa khaini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Yuda wa Yakobo na Yuda Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Yuda wa Yakobo na Yuda Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Yuda wa Yakobo na Yuda Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote, aliyekuwa msaliti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote ambaye alikuwa msaliti.

Tazama sura Nakili




Luka 6:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Filipo, na Bartolomayo, na Tomaso, na Mattayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Lebbayo, aliyekwitwa Thaddayo;


na Andrea, na Filipo, na Bartolomayo, na Mattayo, na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Thaddayo na Simon Mkanani,


Mattayo na Tomaso, Yakobo wa Alfayo, na Simon aliyeitwa Zelote,


Akatelemka pamoja nao, akasimama panapo uwanda, pamoja na kundi la wanafunzi wake, na kundi la watu waliotoka Yahudi wote, na Yerusalemi, na pwani ya Turo na Sidon, waliokuja wamsikilize na kuponywa maradhi zao;


Yuda akamwambia (siye Iskariote), Bwana, imekuwaje, ya kwamba wataka kujidhihirisha kwetu, wala si kwa ulimwengu?


atwae sehemu yake ya khuduma hii na utume huu, alioukosa Yuda aende zake mahali pake.


YUDA, mtumwa wa Yesu Kristo, ndugu wa Yakobo, kwao waliopendwa katika Mungu Baba, na kuhifadhiwa kwa ajili ya Yesu Kristo baada ya kuitwa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo