Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 6:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Mattayo na Tomaso, Yakobo wa Alfayo, na Simon aliyeitwa Zelote,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote),

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote),

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote),

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,

Tazama sura Nakili




Luka 6:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu alipokuwa anaondoka kutoka huko akaona mtu amekeli fordhani, aitwae Mattayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka, akamfuata.


Hatta alipokuwa akipita akamwona Lawi wa Alfayo, ameketi forodhani, akamwambia, Nifuate. Akaondoka akamfuata.


na Andrea, na Filipo, na Bartolomayo, na Mattayo, na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Thaddayo na Simon Mkanani,


Baada ya haya akatoka, akaona mtoza ushuru, jina lake Lawi, amekaa forodhani, akamwambia, Nifuate.


Simon ambae alimpa jina la pili Petro, na Andrea, ndugu yake; Yakobo na Yohana, Filipo na Bartholomayo.


Yuda wa Yakobo; na Yuda Iskariote, ndiye aliyekuwa khaini.


Bassi Tomaso, aitwae Didumo, akawaambia wanafunzi wenziwe, Twende na sisi, tufe pamoja nae.


Tomaso, mmoja wa wathenashara aitwae Didumo, hakuwako pamoja nao alipokuja Yesu.


Hatta walipoingia, wakapanda orofani, walipokuwa wakikaa; Petro, na Yakobo, na Yohana, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartolomayo na Mattayo, Yakobo wa Alfayo, na Simon Zelote, na Yuda wa Yakobo.


Na bao walipokwisha kunyamaza Yakobo akajibu, akinena, Ndugu zangu, nisikilizeni,


Lakini sikumwona mtume mwingine illa Yakobo ndugu yake Bwana.


tena walipokwisha kuijua neema niliyopewa, Yakobo, na Kefa, na Yohana, wenye sifa kuwa ni nguzo, walinipa mimi na Barnaba mkono wa kuume wa shirika, illi sisi tuende kwa mataifa, na wao waende kwa watu wa tohara;


YAKOBO, mtumwa wa Mungu, na Bwana Yesu Kristo, kwa kabila thenashara zilizotawanyika, salamu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo