Luka 6:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Akatenda hivyo. Mkono wake ukapona, ukawa mzima kama wa pili. Nao wakatekewa moyo: wakisemezana wao kwa wao, wamtendeje Yesu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Lakini wao wakakasirika sana, wakajadiliana jinsi ya kumtendea Yesu maovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Lakini wao wakakasirika sana, wakajadiliana jinsi ya kumtendea Yesu maovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Lakini wao wakakasirika sana, wakajadiliana jinsi ya kumtendea Yesu maovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Wale wakuu wakakasirika sana, wakashauriana wao kwa wao ni nini watakachomtendea Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Wale wakuu wakakasirika sana, wakashauriana wao kwa wao ni nini watakachomtendea Isa. Tazama sura |