Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 5:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”

Tazama sura Nakili




Luka 5:32
26 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni msidharau mmoja wa wadogo hawa; kwa maana nawaambieni ya kwamba malaika zao mbinguni siku zote wanamtazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.


Lakini shikeni njia, mkajifunze maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka: kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.


Kwa maana alifahamu ya kuwa makuhani wakuu wamemtoa kwa husuda.


Palikuwa na mtu aitwae Barabba, amefungwa pamoja na watu waliofanya fitina na kufanya uuaji katika fitina.


Yesu aliposikia akawaambia, Wenye afya hawabitaji tabibu bali walio hawawezi; sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dbambi wapate kutubu.


Kadhalika nawaambia ninyi, iko furaha mbele ya malaika zake Mungu kwa mwenye dhambi mmoja atubuye.


Nawaambieni, Kadhalika itakuwako furaha mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa wenye haki tissa na tissaini, wasiohitaji toba.


Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja illi kutafuta kilichopotea na kukiokoa.


na mataifa yote wakhubiriwe kwa jina lake toba na ondoleo la dhambi, kuanzia Yerusalemi.


Yesu akajibu, akawaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi:


Nao wakamwambia, Kwa nini wanafunzi wa Yohana wanafunga marra nyingi na kusali, na wanafunzi wa Mafarisayo wanafanya vilevile, bali wanafunzi wako hula na hunywa?


Bassi zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hauoni; bali sasa anawakhuhiri watu wote wa killa mahali watubu.


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe killa mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


nikiwashuhudia Wayahudi na Wayunani toba iliyo kwa Mungu, na imani iliyo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.


Tubuni bassi, mrejee, illi dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuhurudishwa kwa kuwako kwake Bwana:


Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, illi kuwabarikini kwa kumwepusha killa mmoja wenu na maovu wake.


Mtu kuyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toha na masamaha ya dhambi.


Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wahesabuvyo kukawia, bali huvumilia kwenu, hapendi mtu aliye yote apotee, bali wote wafikilie toba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo