Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 5:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Vipi vyepesi, kusema, Dhambi zako zimeondolewa, au kusema, Ondoka, ukaende.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kusema, ‘Umesamehewa dhambi,’ au kusema, ‘Simama utembee?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kusema, ‘Umesamehewa dhambi,’ au kusema, ‘Simama utembee?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, ‘Umesamehewa dhambi,’ au kusema, ‘Simama utembee?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Je, ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Je, ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’?

Tazama sura Nakili




Luka 5:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamletea mgonjwa wa kupooza, amelala kitandani: na Yesu, akiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa wa kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanaugu; umeondolewa dhambi zako.


Kwa maana vipi vyepesi, kusema, Umeondolewa dhambi zako; au kusema, Ondoka, ukaende?


Vipi vyepesi, kumwambia mwenye kupooza, Dhambi zako zimeondolewa, au kusema, Ondoka, njitwike kitanda chako, ukaenende?


Yesu akafahamu fikara zao akajibu, akawaambia, Mnafikiri nini mioyoni mwenu?


Lakini mpate kujua ya kuwa Mwana wa Adamu ana mamlaka duniani ya kuondoa dhambi (alimwambia yule mwenye kupooza), Nakuambia, Ondoka, ujitwike kitanda chako ukaende nyumbani kwako.


Akamwambia, Umesamehewa dhambi zako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo