Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 5:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Yesu akafahamu fikara zao akajibu, akawaambia, Mnafikiri nini mioyoni mwenu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Isa akijua mawazo yao akawauliza, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Isa akijua mawazo yao akawauliza, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu?

Tazama sura Nakili




Luka 5:22
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nae Yesu akijua haya akatoka huko: makutano mengi wakamfuata; akawaponya wote,


Yesu akijua mawazo yao, akawaambia, Killa ufalme ukifitinika na nafsi yake, hufanyika ukiwa; na killa mji au nyumba ikifitinika na nafsi yake, haitasimama.


Nae Yesu, akijua mawazo yao, akasema, Jinsi gani mnawaza maovu mioyoni mwenu?


Yesu akafahamu, akawaambia, Mbona mnabishana kwa sababu hamna mikate? Hamfahamu bado, wala hamjaelewa? Mioyo yenu i migumu hatta sasa?


Akawaambia, Mbona mmefadhaika? na kwa nini mashaka yanatokea mioyoni mwenu.


Wale waandishi na Mafarisayo wakaanza kutafakari wakanena, Nani huyu anaesema kufuru? Nani awezae kuondoa dhambi, isipokuwa mmoja ndiye Mungu?


Vipi vyepesi, kusema, Dhambi zako zimeondolewa, au kusema, Ondoka, ukaende.


Petro akamwambia, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo kumwambia uwongo Roho Mtakatifu, na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya uwanja?


Maana Neno la Mungu li hayi, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko ukali wa upanga ukatao kuwili, tena lachoma kiasi cha kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.


nami nitawaua watoto wake kwa manti. Na makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye achunguzae viuno na mioyo. Nami nitampa killa mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo