Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 4:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 bassi, wewe ukisujudu mbele yangu, yote yatakuwa yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hivyo ukinisujudia na kuniabudu, vyote vitakuwa vyako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hivyo ikiwa utanisujudia na kuniabudu, vyote vitakuwa vyako.”

Tazama sura Nakili




Luka 4:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mama yake, wakaanguka wakasujudu; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tumi, dhahabu, uvumba, na manemane.


akaanguka kufudifudi miguuni pake, akimshukuru; nae ni Msamaria.


Shetani akamwambia, Nitakupa mamlaka haya yote, na fakhari yake: kwa kuwa nimekabidhiwa, nami nampa ye yote nimtakae:


Yesu akamwambia, Nenda zako nyuma yangu, Shetani: maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.


Alipomwona Yesu, akapiga kelele, akamwangukia, akasema kwa sauti kuu. Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuomba usiniadhibu.


Na mimi Yohana ndimi niliye mwenye kuona haya na kuyasikia. Na niliposikia na kuyaona nalianguka nisujudu mbele ya miguu ya malaika yule mwenye kunionyesha haya.


ndipo hawa wazee ishirini na wane watakapoanguka mbele zake aketiye juu ya kiti cha enzi, nao watamsujudu veye aliye hayi hatta milele na milele, nao watatupa taji zao mbele ya kiti eha enzi, wakisema,


Hatta alipokitwaa kile kitabu, nyama wane wenye uhayi na wale wazee ishirini na wane wakaanguka mbele ya Mwana Kondoo, killa mmoja wao ana kinubi, na vitupa vya dhahabu vilivyojaa manukato, ambavyo ni maombi ya watakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo