Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 4:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Yesu akamjibu, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, hali kwa killa neno la Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Isa akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Isa akajibu akamwambia, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’ ”

Tazama sura Nakili




Luka 4:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, illa kwa killa neno litokalo katika kinywa cha Mungu.


Msisumbuke, bassi, mkinena, Tuleni? au, Tunyweni? au, Tuvaeni?


Akawaambia, Nilipowatuma bila mifuko na mkoba na viatu, mlipunguka kitu? Wakasema, Hapana.


maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake wakulinde,


Shetani akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, liambie jiwe hili liwe mkate.


Yesu akamwambia, Nenda zako nyuma yangu, Shetani: maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.


Tena ipokeeni chepeo ya wokofu, na upanga wa Roho, ndio neno la Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo