Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 4:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Ushangao ukawashika wote, wakaambiana wao kwa wao, wakinena, Neno gani hili, maana kwa mamlaka na uweza awaamuru pepo wachafu, nao watoka?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Watu wote wakashangaa, wakawa wanaambiana, “Hili ni jambo la ajabu, maana kwa uwezo na nguvu anawaamuru pepo wachafu watoke, nao wanatoka!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Watu wote wakashangaa, wakawa wanaambiana, “Hili ni jambo la ajabu, maana kwa uwezo na nguvu anawaamuru pepo wachafu watoke, nao wanatoka!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Watu wote wakashangaa, wakawa wanaambiana, “Hili ni jambo la ajabu, maana kwa uwezo na nguvu anawaamuru pepo wachafu watoke, nao wanatoka!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Watu wote wakashangaa, wakaambiana, “Mafundisho haya ni ya namna gani? Anawaamuru pepo wachafu kwa mamlaka na nguvu, nao wanatoka!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Watu wote wakashangaa, wakaambiana, “Mafundisho haya ni ya namna gani? Anawaamuru pepo wachafu kwa mamlaka na nguvu, nao wanatoka!”

Tazama sura Nakili




Luka 4:36
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na pepo alipofukuzwa, yule bubu akasema, makutano wakastaajabu, wakanena, Haijaonekana hivi katika Israeli wakati wo wote.


Wakashangaa wote hatta wakaulizana, wakinena, Nini hii? Elimu hii mpya ni elimn gani? Maana kwa mamlaka awaamuru pepo wachafu nao wakamtii!


Ametenda yote vizuri; viziwi awafanya wasikie, na bubu waseme.


Wote waliosikia wakataajabu kwa yale waliyoambiwa na wachungaji.


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa sababu neno lake lilikuwa na uweza.


alioko mkono wa kuume wa Mungu, amekwenda zake mbinguni, malaika na enzi na nguvu zimetiishwa chini yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo