Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 4:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Na palikuwapo katika sunagogi yao mtu mwenye roho ya pepo mchafu: akapaaza sauti kwa nguvu, akinena,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu. Naye akapaza sauti kwa nguvu akisema,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu. Naye akapiga kelele kwa nguvu akisema,

Tazama sura Nakili




Luka 4:33
3 Marejeleo ya Msalaba  

Palikuwapo katika sunagogi yao mtu mwenye pepo mchafu; akapaaza sauti,


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa sababu neno lake lilikuwa na uweza.


Ah, tuna nini nawe Yesu Mnazareti? umekuja kutuangamiza? Nakutambua wewe, Mtakatifu wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo