Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 4:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Wakajazwa hasira wote katika sunagogi walipoyasikia haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Watu wote katika sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Watu wote katika sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana.

Tazama sura Nakili




Luka 4:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi Herode, akiona ya kuwa amedhihakiwa na majusi, akaghadhabika sana, akatuma watu kuwaua watoto wote wanawaume waliokuwa Bethlehemu na viungani mwake mwote, tangu wa miaka miwili na waliopungua, kwa muda aliouhakiki kwa majusi.


Tena palikuwa wengi wenye ukoma katika Israeli zamani za nabii Elisha: wala hapana aliyetakasika illa Naaman, mtu wa Sham.


Wakaondoka wakamtoa nje ya mji, wakamchukua hatta ukingo wa kilima kile kilichojengwa mji wao, wapate kumporomosha:


Akatenda hivyo. Mkono wake ukapona, ukawa mzima kama wa pili. Nao wakatekewa moyo: wakisemezana wao kwa wao, wamtendeje Yesu.


Waliposikia wakachomwa mioyo yao; wakafanya shauri kuwaua.


Bassi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo