Luka 4:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192122 Wakamshuhudia wote, wakayastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake: wakanena, Huyu siye Mwana wa Yusuf? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. Wakasema, “Je, huyu si mwana wa Yosefu?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. Wakasema, “Je, huyu si mwana wa Yosefu?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. Wakasema, “Je, huyu si mwana wa Yosefu?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Watu wote walimsifu na kuyastaajabia maneno yake yaliyojaa neema, wakaulizana, “Je, huyu si mwana wa Yusufu?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Wote waliokuwako wakamsifu na kuyastaajabia maneno yake yaliyojaa neema, wakaulizana, “Je, huyu si mwana wa Yusufu?” Tazama sura |