Luka 4:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192120 Akakifunga chuo, akampa mkhudumu, akaketi: watu wote waliokuwa katika sunagogi wakamkazia macho. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Baada ya kusoma, akafunga kile kitabu, akampa mtumishi, kisha akaketi; watu wote wakamkodolea macho. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Baada ya kusoma, akafunga kile kitabu, akampa mtumishi, kisha akaketi; watu wote wakamkodolea macho. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Baada ya kusoma, akafunga kile kitabu, akampa mtumishi, kisha akaketi; watu wote wakamkodolea macho. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kisha akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi na akaketi. Watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kisha akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi na akaketi. Watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho. Tazama sura |