Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 4:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Na siku zile hakula kitu; hatta zilipotimia, akaona njaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Huko alijaribiwa na Ibilisi kwa muda wa siku arubaini. Wakati huo wote hakula chochote, na baada ya siku hizo akasikia njaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Huko alijaribiwa na Ibilisi kwa muda wa siku arubaini. Wakati huo wote hakula chochote, na baada ya siku hizo akasikia njaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Huko alijaribiwa na Ibilisi kwa muda wa siku arubaini. Wakati huo wote hakula chochote, na baada ya siku hizo akasikia njaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 ambako alijaribiwa na ibilisi kwa siku arobaini. Kwa siku zote hizo hakula chochote, hivyo baada ya muda huo akaona njaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 mahali ambako kwa siku arobaini alikuwa akijaribiwa na ibilisi. Kwa siku zote hizo hakula chochote, hivyo baada ya muda huo akaona njaa.

Tazama sura Nakili




Luka 4:2
16 Marejeleo ya Msalaba  

Hatta assubuhi alipokuwa akirudi mjini, akashikwa na njaa.


Akafunga siku arubaini mchana na usiku, baadae akaona njaa.


Shetani akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, liambie jiwe hili liwe mkate.


Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo. Bassi Yesu, kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Ilikuwa yapata saa sita.


Na kwa kuwa aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wao wanaojaribiwa.


Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu asiyeweza kuyachukua mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijuribiwa sawa sawa na sisi katika mambo yote, bila dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo