Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 3:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 wa Enos, wa Seth, wa Adamu, wa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 aliyekuwa mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, aliyekuwa wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 aliyekuwa mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, aliyekuwa wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 aliyekuwa mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, aliyekuwa wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu, Adamu alikuwa mwana wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu, Adamu alikuwa mwana wa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili




Luka 3:38
11 Marejeleo ya Msalaba  

wa Methusala, wa Enok, wa Yared, wa Maleleel, wa Kainan,


NA Yesu, akijaa Roho Mtakatifu, akarudi kutoka Yordani: akaongozwa na Roho kwenda jangwani, akijaribiwa na Shetani muda wa siku arubaini.


Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza Adamu alikuwa nafsi hayi; Adamu wa mwisho roho yenye kuhuisha.


Mtu wa kwanza atoka katika inchi, wa udongo. Mtu wa pili atoka mbinguni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo