Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 3:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Akawaambia, Msifoze kitu zaidi ya vile mlivyoamriwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Naye akawaambia, “Msitoze ushuru zaidi ya kima kilichowekwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Naye akawaambia, “Msitoze ushuru zaidi ya kima kilichowekwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Naye akawaambia, “Msitoze ushuru zaidi ya kima kilichowekwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”

Tazama sura Nakili




Luka 3:13
15 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi yo yote mtakayo kutendewa na watu, nanyi mwatendee vivyo hivyo: maana hiyo ndiyo torati na manabii.


Zakkayo akasimama, akamwambia Bwana, Bwana, nussu ya mali zangu ninawapa maskini; na kama nimetoza mtu kitu kwa kumsingizia uwongo ninamrudishia marra nne.


Watoza ushuru nao wakaja illi kubatizwa, wakamwambia, Mwalimu, tufanyeni?


Askari nao wakamwuliza wakisema, Nasi tufanyeni? Akawaambia, Msimtende jeuri mtu aliye yote, wala msitoze kitu bila haki; tena mwe radhi na mshsahara wenu.


wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyangʼanyi.


Mwibaji asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akitenda kazi iliyo njema kwa mikono yake mwenyewe, apafe kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji.


BASSI na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, tuweke kando killa mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa uvumilivu katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo