Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 24:52 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

52 Nao wakamsujudia, wakarudi Yerusalemi na furaha kuu:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

52 Wao wakamwabudu, kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

52 Wao wakamwabudu, kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

52 Wao wakamwabudu, kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

52 Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

52 Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.

Tazama sura Nakili




Luka 24:52
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipomwona, wakamsujudia; lakini wengine waliona shaka.


Nao walipokuwa wakienda kuwapasha wanafunzi wake khabari, Yesu akakutana nao, akinena, Salam! Wakakaribia wakamshika miguu, wakamsujudia.


Ikawa katika kuwabariki, akajitenga nao, akachukuliwa juu mbinguni.


wakawa daima ndani ya hekalu, wakimsifu Mungu na kumhimidi. Amin.


Mlisikia ya kwamba mimi naliwaambia, Nakwenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi, kwa sababu nashika njia kwenda kwa Baba: kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.


Bassi na ninyi sasa hivi mna huzuni; lakini nitawaona tena, na moyo wenu utafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleae.


Lakini mimi nawaambieni iliyo kweli; Yawafaa ninyi mimi niondoke: kwa maana nisipoondoka, Mfariji hatakuja kwenu; bali nikienda zangu, nitampeleka kwenu.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu, na Mungu wangu.


Kiisha wakarudi kwenda Yerusalemi kutoka mlima ulioitwa wa mizeituni, ulio karibu na Yerusalemi, wapata mwendo wa sabato.


ambae mwampenda, ijapokuwa hamkumwona: ambae ijapokuwa hamwoni sasa, mnamwamini, na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, iliyotukuzwa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo