Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 24:51 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

51 Ikawa katika kuwabariki, akajitenga nao, akachukuliwa juu mbinguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

51 Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

51 Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

51 Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

51 Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

51 Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.

Tazama sura Nakili




Luka 24:51
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi Bwana, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni, akaketi mkono wa kuume wa Mungu.


Akawaongoza nje mpaka Bethania: akainua mikono yake, akawabariki.


Nao wakamsujudia, wakarudi Yerusalemi na furaha kuu:


Yesu akamwambia, Usiniguse; kwa maana sijapaa kwa Baba yangu. Lakini enenda kwa ndugu zangu, ukawaambie, Ninapaa kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu.


Akiisha kusema haya, walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao.


Yeye kwa kuwa ni mwanga wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake, akivitengeneza vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya peke yake utakaso wa dhambi zetu, aliketi juu mkono wa kuume wa ukuu;


Bassi, iwapo tunae kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana wa Mungu, tujashike sana maungamo yetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo