Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 24:50 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

50 Akawaongoza nje mpaka Bethania: akainua mikono yake, akawabariki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Baada ya kuwaongoza hadi Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.

Tazama sura Nakili




Luka 24:50
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.


Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.


HATTA walipokaribia Yerusalemi karibu na Bethfage na Bethania, kukabili mlima wa Mizeituni, akawatuma wawili katilia wanafunzi wake, akawaambia,


Ikawa katika kuwabariki, akajitenga nao, akachukuliwa juu mbinguni.


Kiisha wakarudi kwenda Yerusalemi kutoka mlima ulioitwa wa mizeituni, ulio karibu na Yerusalemi, wapata mwendo wa sabato.


Akiisha kusema haya, walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao.


Bassi nataka wanaume waombe killa mahali, wakimua mikono mitakatifu, pasipo hasira na majadiliano.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo