Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 24:45 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

45 Ndipo akaamsha akili zao, wapate kuyatambua maandiko matakatifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

45 Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

45 Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko Matakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

45 Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.

Tazama sura Nakili




Luka 24:45
13 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaambiana, Je! Mioyo yetu haikuwa ikiwaka ndani yetu, alipokuwa akisema nasi njiani, akitufunulia maandiko?


Mwanamke mnioja, jina lake Ludia, mwenye kuuza rangi ya zambarao, mwenyeji wa Thuatira, mcha Mungu, akatusikiliza. Moyo wake huyu ukafunguliwa na Bwana, ayaangalie mineno yaliyonenwa na Paolo.


uwafumhue macho yao, waiache giza na kuielekea nuru, na waziache nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu, na wapate masamaha ya dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu.


Kwa biyo anena, Amka, wewe usinziae, kafufuka, na Kristo atakuangaza.


Twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, nae ametupa akili illi tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele.


Na kwa malaika wa kanisa lililo katika Filadelfia andika; Haya ayanena yeye aliye mtakatifu, aliye wa kweli, aliye na ufunguo wa Daud, mwenye kufungua wala hapana afungae, nae afunga wala hapana afuuguae.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo