Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 24:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Walipokuwa wakisema hivyo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akiwaambia, Amani kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia “Amani iwe nanyi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia “Amani iwe nanyi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia “Amani iwe nanyi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Isa mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Isa mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!”

Tazama sura Nakili




Luka 24:36
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na nyumba ile ikistahili, amani yenu iifikilie: la, haistahili, amani yenu iwarudieni.


Baadae akaonekana na wale edashara walipokuwa wakila, akawalaumu kwa kutoamini kwao na ugumu wa mioyo yao, kwa kuwa hawakuwasadiki waliomwona alipofufuka.


Na nyumba yo yote mwingiayo, kwanza neneni, Amani iwe nyumbani humu.


Amani nawaachieni; amani yangu nawatolea; si kama ulimwengu utoavyo, mimi nawatolea. Msifadhaike moyo wenu, wala msiwe na woga.


Haya nimewaambieni, mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mtapata shidda: lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.


Baada ya siku nane wanafunzi wake walikuwamo ndani marra ya pili, na Tomaso pamoja nao. Yesu akaja, milango imefungwa, akasimama katikati, akasema, Amani kwenu.


na baada ya kuteswa kwake, akawadhihirisbia ya kwamba yu hayi, kwa dalili nyingi, akiwatokea muda wa siku arubaini, na kuyanena mambo yaliyonkhusu ufalme wa Mungu.


na ya kuwa alionekana na Kefa; tena na wathenashara;


baadae alionekana na Yakobo; tena na mitume wote;


Sasa, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani siku zote kwti njia zote. Bwana awe pamoja nanyi nyote.


Yohana kwa makanisa saba yaliyo katika Asia: Neema iwe kwenu na amani zitokazo kwake yeye alioko na aliyekuwako nii atakaekuwako: na zitokazo kwa roho saba zilizo mbele ya kiti chake cha enzi:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo