Luka 24:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192136 Walipokuwa wakisema hivyo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akiwaambia, Amani kwenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia “Amani iwe nanyi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia “Amani iwe nanyi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia “Amani iwe nanyi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Isa mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Isa mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!” Tazama sura |