Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 24:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Ikawa, akiketi pamoja nao, akautwaa mkate, akaubariki, akaumega, akawagawia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.

Tazama sura Nakili




Luka 24:30
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaagiza makutano waketi katika majani; akaitwaa ile mikate mitano na zile samaki mbili, akatazama juu mbinguni, akabariki, akamega, akawapa wanafunzi ile mikate, wanafunzi wakawapa makutano.


akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akashukuru, akavimega, akawapa wanafunzi wake, nao wanafunzi wakawapa makutano.


Walipokuwa wakila, Yesu akatwaa mkate, akaubariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ni mwili wangu.


Nao wakila, akatwaa mkate, akahariki, akamega, akawapa, akasema, Twaeni; huu ni mwili wangu.


Akaitwaa ile mikate mitano na zile samaki mbili, akatazama mbinguni, akavibariki, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi wake awaandikie: na zile samaki mbili akawagawia wote.


Akawaagiza makutano waketi chini: akaitwaa ile mikate saba, akashukuru, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawaandalie: wakawaandalia makutano,


Akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema, Huu ni mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.


Wakamshurutisha, wakisema, Kaa pamoja nasi, kwa maana kumekuchwa, na mchana unakwisha sasa. Akaingia kukaa nao.


Nao wakawahadithia yale ya njiani, na jinsi alivyotambulikana nao kwa kumega mkate.


Wakafanya hivi, wakawaketisha wote. Akaitwaa ile mikate mitano na zile samaki mbili, akatazama juu mbinguni, akavibariki, akavimega, akawapa wanafunzi, kuviweka mbele ya makutano.


Bassi Yesu akaitwaa mikate, akashukuru, akawagawia walioketi; kadhalika katika wale samaki kwa kadiri walivyotaka.


Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali.


Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu ndani ya hekalu, wakimega mkate nyumba kwa nyumba, na kupokea chakula chao kwa furaha na kwa moyo mweupe,


Alipokwisha kusema haya akatwaa mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote akaumega akaanza kula.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo