Luka 24:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192127 Akaanza toka Musa na manabii, akawafasiria katika maandiko yote mambo yaliyomkhusu yeye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika Maandiko Matakatifu kuanzia Mose hadi manabii wote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika Maandiko Matakatifu kuanzia Mose hadi manabii wote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika Maandiko Matakatifu kuanzia Mose hadi manabii wote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Naye akianzia na Torati ya Musa na Manabii wote, akawafafanulia jinsi Maandiko yalivyosema kumhusu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Naye akianzia na Torati ya Musa na Manabii wote, akawafafanulia jinsi Maandiko yalivyosema kumhusu yeye. Tazama sura |