Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 24:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Haikumpasa Kristo kupata mateso haya, ndipo aingie enzini mwake?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Je, haikumpasa Al-Masihi kuteswa kwa njia hiyo na kisha aingie katika utukufu wake?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Je, haikumpasa Al-Masihi kuteswa kwa njia hiyo na kisha aingie katika utukufu wake?”

Tazama sura Nakili




Luka 24:26
18 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Haya ndiyo maneno yangu niliyowaambieni, nilipokuwa kwenu, ya kuwa hayana buddi kutimizwa yote niliyoandikiwa katika torati ya Musa, na katika manabii, na katika zaburi.


Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, na ndivyo ilivyompasa Kristo kuteswa, na kufufuka siku ya tatu;


ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kutiwa katika mikono ya watu wenye dhambi, na kusulibiwa, na kufufuka siku ya tafu.


Bassi alipofufuliwa katika wafu, wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa amenena neno hili, wakaliamini lile andiko na lile neno alilolinena Yesu.


Kwa maana hawajalifahamu andiko bado, kwamba imempasa kufufuka.


akiyafunua na kuwaeleza ya kwamba ilimpasa Kristo kuteswa, na kufufuka katika wafu; na ya kama, Yesu huyu ninaewapasha ninyi khabari zake ndiye Kristo.


tukimtazama Yesu, aliveianzisha imani yetu na kuitimiliza; ambae kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele zake aliuvumilia msalaba na kuidharau aibu, nae ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.


wakitafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho ya Kristo iliyokuwa ndaui yao, aliyetangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwa baada ya hayo.


Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambae kwa rehema zake nyingi alituzaa marra ya pili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuliwa kwake Yesu Kristo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo