Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 24:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Na wengine waliokuwa pamoja nasi wakaenda kaburini, wakaona vivyo hivyo kama wanawake walivyosema; illa yeye hawakumwona.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Wengine wetu walikwenda kaburini wakashuhudia yale waliyosema hao wanawake; ila yeye hawakumwona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Wengine wetu walikwenda kaburini wakashuhudia yale waliyosema hao wanawake; ila yeye hawakumwona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Wengine wetu walikwenda kaburini wakashuhudia yale waliyosema hao wanawake; ila yeye hawakumwona.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Kisha baadhi ya wenzetu walienda kaburini wakalikuta kama vile wale wanawake walivyokuwa wamesema, lakini yeye hawakumwona.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Kisha baadhi ya wenzetu walikwenda kaburini wakalikuta kama vile wale wanawake walivyokuwa wamesema, lakini yeye hawakumwona.”

Tazama sura Nakili




Luka 24:24
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Herode akawaita majusi kwa faragha, akapata kwao hakika ya muda ile nyota ilipoonekana.


Lakini Petro akaondoka, akaenda mbio kaburini, akainama, akachungulia ndani, akaviona vile vitambaa vimewekwa peke yake, akarudi kwake, akistaajabu kwa yale yaliyotokea.


wasioukuta mwili wake, wakaja, wakasema ya kwamba wametokewa na malaika, waliowaambia yu hayi.


Nae akawaambia, Enyi wapumbavu, na wenye mioyo mizito katika kuyaamini yote waliyoyasema manabii!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo