Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 24:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 wasioukuta mwili wake, wakaja, wakasema ya kwamba wametokewa na malaika, waliowaambia yu hayi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 wasiukute mwili wake. Wakarudi wakasema kwamba walitokewa na malaika waliowaambia kwamba alikuwa hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 wasiukute mwili wake. Wakarudi wakasema kwamba walitokewa na malaika waliowaambia kwamba alikuwa hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 wasiukute mwili wake. Wakarudi wakasema kwamba walitokewa na malaika waliowaambia kwamba alikuwa hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 lakini hawakuukuta mwili wake. Walirudi wakasema wameona maono ya malaika ambao waliwaambia kwamba Isa yu hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 lakini hawakuukuta mwili wake. Walirudi wakasema wameona maono ya malaika ambao waliwaambia kwamba Isa yu hai.

Tazama sura Nakili




Luka 24:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hayupo hapa; kwa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni, patazameni mahali alipolazwa Bwana.


Na hawa waliposikia kama yu hayi akaonwa nae, hawakusadiki.


Kuna tena wanawake wengine wa kwetu waliotustusha, wakiamkia mapema kwenda kaburini:


Na wengine waliokuwa pamoja nasi wakaenda kaburini, wakaona vivyo hivyo kama wanawake walivyosema; illa yeye hawakumwona.


Wakaingia, wasiuone mwili wa Bwana Yesu.


Mariamu Magdalene akaenda akawapasha wanafunzi khabari ya kwamba amemwona Bwana, na ya kwamba amemwambia haya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo