Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 24:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 na jinsi makuhani wakuu na wakubwa wetu walivyomtoa kwa hukumu ya kufa, wakamsulibisha;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili




Luka 24:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi nyoka, mazao wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehannum?


Nao makuhani wakuu na wazee wakawashawishi makutano illi wamtake Barabba, na kumwangamiza Yesu.


MARRA ilipokuwa assubuhi makuhani wakuu wakafanya shauri pamoja na wazee na waandishi na haraza zima, wakamfunga Yesu, wakamchukua, wakamleta kwa Pilato.


Hatta ulipokuwa mchana wakakusanyika jamii ya wazee wa watu, na makuhani wakuu, na waandishi, wakamleta kwa haraza yao, wakisema,


Pilato akawaita pamoja makuhani wakuu, na wakubwa, na watu, akawaambia,


mtu huyu alitwaliwa nanyi kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake taugu zamani, nanyi mkamsulibisha kwa mikono mibaya, mkamwua:


waliomwua Bwana Yesu na manabii wao wenyewe na kutuudhi sisi, wala hawampendezi Mungu, wala hawapatani na watu wo wote;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo