Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Akamwuliza kwa maneno mengi, yeye asimjibu lo lote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Herode akamuuliza maswali mengi, lakini Isa hakumjibu lolote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Herode akamuuliza maswali mengi, lakini Isa hakumjibu lolote.

Tazama sura Nakili




Luka 23:9
13 Marejeleo ya Msalaba  

Aliposhitakiwa na makuhani wakuu na wazee, hakujibu hatta neno.


Nae hakumjibu hatta kwa neno moja, hatta liwali akataajabu sana.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararueni.


Wala Yesu hakujibu neno tena, hatta Pilato akataajabu.


Akawaambia, Enendeni zenu, nikamwambie yule mbweha, Tazama, nafukuza pepo, nafanya kazi ya kuwaponya watu leo na kesho, nami siku ya tatu nakamilika.


Wakasimama makuliani wakuu na waandishi, wakimshitaki kwa nguvu.


akaingia tena Praitorio, akamwamhia Yesu, Umetoka wapi wewe? Lakini Yesu hakumpa jibu lo lote.


Na fungu la Maandiko alilokuwa akilisoma ni hili: Alichukuliwa kwenda machinjoni kama kondoo, Na kama vile mwana kondoo asivyolia mbele yake amkatae manyoya, Vivyo hivyo yeve nae hafunui kinywa chake.


yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa hakuogofya; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo