Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Pilato aliposikia neno hili Galilaya, akauliza, Mtu huyu ni Mgalilaya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Pilato aliposikia hayo, akauliza, “Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Pilato aliposikia hayo, akauliza, “Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Pilato aliposikia hayo, akauliza, “Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Pilato aliposikia hayo akauliza kama huyo mtu alikuwa Mgalilaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Pilato aliposikia hayo akauliza, “Huyu mtu ni Mgalilaya?”

Tazama sura Nakili




Luka 23:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na Petro alikuwa ameketi nje behewani: kijakazi kimoja akamwendea, akanena, Wewe nawe ulikuwa pamoja na Yesu wa Galilaya.


WAKATI huohuo walikuwapo watu wakimwarifu khabari za Wagalilaya wale ambao Pilato alichanganya damu yao na dhabihu zao.


Nao wakamshurutisha, wakisema, Awataharakisha watu, akifundisha katika Yahudi yote, akianzia Galilaya hatta hapa.


Alipojua ni chini ya mamlaka ya Herode, akampeleka kwa Herode; nae alikuwa katika Yerusalemi siku zile.


Baada ya mtu huyo aliondoka Yuda Mgalilaya, siku zile za kuandikiwa kodi, akawavuta watu kadha wa kadha nyuma yake, nae akapotea na wote waliomsadiki wakatawanyika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo