Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:56 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

56 Na siku ya sabato wakastarehe kama ilivyoamriwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

56 Halafu, walirudi nyumbani, wakatayarisha manukato na marashi ya kuupaka mwili wa Yesu. Siku ya Sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

56 Halafu, walirudi nyumbani, wakatayarisha manukato na marashi ya kuupaka mwili wa Yesu. Siku ya Sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

56 Halafu, walirudi nyumbani, wakatayarisha manukato na marashi ya kuupaka mwili wa Yesu. Siku ya Sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

56 Kisha wakarudi nyumbani, wakaandaa manukato na marhamu ya kuupaka huo mwili. Lakini wakapumzika siku ya Sabato kama ilivyoamriwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

56 Kisha wakarudi nyumbani, wakaandaa manukato na marhamu ya kuupaka huo mwili. Lakini wakapumzika siku ya Sabato kama ilivyoamriwa.

Tazama sura Nakili




Luka 23:56
9 Marejeleo ya Msalaba  

HATTA sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu wa Yakobo na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka.


HATTA siku ya kwanza ya juma, ikianza kupambazuka, wakaenda kaburini wakiyaleta yale manukato waliyoyaweka tayari, na wengine pamoja nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo