Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:53 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

53 Akaushusha, akauzinga nguo za katani, akauweka katika kaburi lililochongwa mwambani; hajawekwa mtu aliye yote ndani yake kamwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Kisha akaushusha mwili huo kutoka msalabani, akauzungushia sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limetumika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Kisha akaushusha mwili huo kutoka msalabani, akauzungushia sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limetumika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Kisha akaushusha mwili huo kutoka msalabani, akauzungushia sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limetumika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Akaushusha kutoka msalabani, akaufunga katika kitambaa cha kitani safi, na kuuweka katika kaburi lililochongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limezikiwa mtu mwingine bado.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Akaushusha kutoka msalabani, akaufunga katika kitambaa cha kitani safi, na kuuweka katika kaburi lililochongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limezikiwa mtu mwingine bado.

Tazama sura Nakili




Luka 23:53
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akanunua saanda, akamshusha, akamfungia ile saanda, akamweka katika kaburi lililochongwa mwambani: akafingirisha jiwe mbele ya mlango wa kaburi.


Bassi mtu huyu akamwendea Pilato akaomba apewe mwili wa Yesu.


Ilikuwa siku ya Maandalio, sabato ikawadia.


Na mahali pale aliposulibiwa palikuwa na bustani; na ndani ya bustani kaburi jipya, bado hajatiwa mtu aliye yote ndani yake.


Hatta walipomaliza yote aliyoandikiwa, wakamshusha katika mti, wakamweka kaburini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo