Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

40 Wa pili akajibu, akamkemea akasema, Humwogopi wewe hatta Mungu, ukiwa katika hukumu ile ile?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake akisema: “Wewe humwogopi Mungu hata kidogo? Wewe umepata adhabu hiyohiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake akisema: “Wewe humwogopi Mungu hata kidogo? Wewe umepata adhabu hiyohiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake akisema: “Wewe humwogopi Mungu hata kidogo? Wewe umepata adhabu hiyohiyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake, akasema, “Je, wewe humwogopi Mungu, wakati uko kwenye adhabu hiyo hiyo?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake, akasema, “Je, wewe humwogopi Mungu, wakati uko kwenye adhabu iyo hiyo?

Tazama sura Nakili




Luka 23:40
12 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokuja wale wa saa edashara, wakapokea killa mtu dinari.


Akawaambia, Mbona mu waoga, enyi wa imani haba? Marra akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.


Illa nitawaonya mtakaemwogopa: Mwogopeni yule aliye na uweza baada ya kuua mtu kumtupa katika Jehannum: naam, nawaambieni, Mwogopeni yule.


Mmoja wa wale wakhalifu waliotundikwa akamtukana, akisema, Si wewe uliye Kristo? Jiokoe nafsi yako na sisi.


Na sisi kweli ina haki; kwa maana sisi tunalipwa ijara ya haki ya matendo yetu: bali huyu hakutenda neno lisilofaa.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Ni nani asiyekucha, Bwana, na kulitukuza jina lako? kwa kuwa wewe peke yako Mtakatifu: kwa maana mataifa yote watakuja na kusujudu mbele yako; kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha kufunuliwa.


wakamtukana Mungu wa mbingu kwa sababu ya maumivu yao, na kwa sababu ya majipu yao, wala hawakuyatubia matendo yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo