Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:39 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

39 Mmoja wa wale wakhalifu waliotundikwa akamtukana, akisema, Si wewe uliye Kristo? Jiokoe nafsi yako na sisi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Mmoja wa wale wahalifu waliotundikwa msalabani, alimtukana akisema: “Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo? Basi, jiokoe mwenyewe, utuokoe na sisi pia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Mmoja wa wale wahalifu waliotundikwa msalabani, alimtukana akisema: “Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo? Basi, jiokoe mwenyewe, utuokoe na sisi pia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Mmoja wa wale wahalifu waliotundikwa msalabani, alimtukana akisema: “Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo? Basi, jiokoe mwenyewe, utuokoe na sisi pia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Mmoja wa wale wahalifu waliosulubiwa pamoja naye akamtukana, akasema: “Wewe si ndiye Al-Masihi? Jiokoe mwenyewe na utuokoe na sisi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Mmoja wa wale wahalifu waliosulubiwa pamoja naye akamtukana, akasema: “Wewe si ndiye Al-Masihi? Jiokoe mwenyewe na utuokoe na sisi.”

Tazama sura Nakili




Luka 23:39
6 Marejeleo ya Msalaba  

Vilevile wa ayangʼanyi nao waliosulibiwa pamoja nae walimshutumu.


Kristo, mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani tupate kuona na kuamini. Nao waliosulibiwa pamoja nae wakamlaumu,


Watu wakasimama, wakitazama. Nao wakuu wakamfanyizia mzaha, wakisema, Aliokoa wengine; na ajiokoe nafsi yake, kama huyu ndiye Kristo wa Mungu, mtenle wake.


Kama wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi, njiokoe nafsi yako.


Wa pili akajibu, akamkemea akasema, Humwogopi wewe hatta Mungu, ukiwa katika hukumu ile ile?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo