Luka 23:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Kwa kuwa wakifanya haya wakati wa mti ulio mbichi, wakati wa ule ulio mkavu yatakuwaje? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Kwa maana kama wamefanya hivi kwa mti mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Kwa maana kama wamefanya hivi kwa mti mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?” Tazama sura |