Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Kwa kuwa wakifanya haya wakati wa mti ulio mbichi, wakati wa ule ulio mkavu yatakuwaje?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Kwa maana kama wamefanya hivi kwa mti mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Kwa maana kama wamefanya hivi kwa mti mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?”

Tazama sura Nakili




Luka 23:31
13 Marejeleo ya Msalaba  

Pepeto lake li mkononi mwake, nae ataitakasa sana sakafu yake; atakusanya nganu yake ghalani, bali makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.


Ndipo watakapoanza kuiambia milima, Tuangukieni, na vilima, Tusetirini.


Wakachukuliwa wawili tena, wakhalifu, wauawe pamoja nae.


Mtu asipokaa ndani yangu, atupwa nje kama tawi, akauka; huyakusanya, huyatupa motoni, yakateketea.


bali ikitoa miiba ua magugu hukataliwa na kuwa karibu na laana; mwisho wake ni kuteketea.


Watu hawa ni miamba yenye khatari katika karamu zenu za upendo wafanyapo karamu pamoja nanyi, wakijilisha pasipo khofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa marra mbili, na kungʼolewa kabisa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo