Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Pilato akamwuliza, akisema, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajibu, akamwambia, Unasema wewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Pilato akamwuliza Yesu, “Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Pilato akamwuliza Yesu, “Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Pilato akamwuliza Yesu, “Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Basi Pilato akamuuliza Isa, “Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi?” Isa akajibu, “Wewe wasema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Basi Pilato akamuuliza Isa, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?” Isa akajibu, “Wewe wasema.”

Tazama sura Nakili




Luka 23:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akasimama mbele ya liwali: liwali akamwuliza, akinena, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Yesu akamwambia, Wewe wanena.


wakaanza kumsalimu, Salamu Mfalme wa Wayahudi!


Pilato akamwuliza, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajihu, akamwambia, wewe unasema.


Kristo, mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani tupate kuona na kuamini. Nao waliosulibiwa pamoja nae wakamlaumu,


Wakasema wote, Bassi, wewe ndiwe Mwana wa Mungu? Akawaambia, Ninyi mnasema kama mimi ndiye.


Palikuwa na anwani juu yake kwa harufi za kiyunani na kirumi na kiebrania, HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI.


Nathanaeli akajibu, akamwambia, Rabbi, wewe u Mwana wa Mungu, ndiwe mfalme wa Israeli.


Bassi Pilato akawatokea nje akasema, Mashitaka gani mnayoleta juu ya mtu huyu?


wakisema, Salamu, Mfalme wa Wayahudi! wakimpiga makofi.


Nakuagiza mbele za Mungu avipae vitu vyote uzima, na mbele za Kristo Yesu aliyeungama maungamo yale mazuri mbele ya Pontio Pilato,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo