Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Pilato akakata maneno yafanyike waliyoyataka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe.

Tazama sura Nakili




Luka 23:24
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akawafungulia Barabba: na alipokwisha kumpiga Yesu mijeledi, akamtoa apate kusulibiwa.


Pilato akapenda kuwafanyia radhi makutano, akawafungulia Barabba: akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, asulibiwe.


Lakini wakakaza kusema kwa santi kuu, wakitaka asulibiwe; zikashinda sauti zao na za makuhani wakuu.


Akamfungua yeye aliyetiwa gerezani kwa fitina na uuaji, waliyemtaka: akatoa Yesu kwa mapenzi yao.


BASSI ndipo Pilato akamtwaa Yesu, akampiga mijeledi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo