Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Nao wakalia, wakisema, Msulibishe, msulibishe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 lakini wao wakapiga kelele: “Msulubishe, msulubishe!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 lakini wao wakapiga kelele: “Msulubishe, msulubishe!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 lakini wao wakapiga kelele: “Msulubishe, msulubishe!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Lakini wao wakaendelea kupiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Lakini wao wakaendelea kupiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!”

Tazama sura Nakili




Luka 23:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakapiga kelele tena, Msulibishe.


Bassi marra ya pili Pilato akasema nao, akitaka kumfungua Yesu.


Nae akawaambia marra ya tatu, Kwani? ubaya gani alioutenda huyu? sikuona hatta neno kwake la kustahili kufa; bassi nikiisha kumrudi nitamfungua.


Lakini wakakaza kusema kwa santi kuu, wakitaka asulibiwe; zikashinda sauti zao na za makuhani wakuu.


Bassi wale wakapiga kelele, Mwondoshe, mwondoshe, msulibishe. Pilato akawaambia, Nimsulibishe mfalme wenu? Makuhani wakuu wakajibu, Hatuna mfalme illa Kaisari.


Na wasipopata sababu ya kumfisha wakamwomba Pilato auawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo