Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Bassi marra ya pili Pilato akasema nao, akitaka kumfungua Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Pilato, akitaka kumwachia Isa, akasema nao tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Pilato, akitaka kumwachia Isa, akasema nao tena.

Tazama sura Nakili




Luka 23:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki: kwa sababu nimeteswa mengi leo katika udoto kwa ajili yake.


Pilato akapenda kuwafanyia radhi makutano, akawafungulia Barabba: akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, asulibiwe.


Nae ni mtu aliyetiwa gerezani kwa sababu ya fitina iliyofanyika mjini, na kwa uuaji.


Nao wakalia, wakisema, Msulibishe, msulibishe.


Tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si mpenda Kaisari; killa ajifanyae kuwa mfalme amfitini Kaisari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo