Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 23:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Pilato akawaita pamoja makuhani wakuu, na wakubwa, na watu, akawaambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Basi Pilato akawaita pamoja viongozi wa makuhani, viongozi wengine na watu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Basi Pilato akawaita pamoja viongozi wa makuhani, viongozi wengine na watu,

Tazama sura Nakili




Luka 23:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Pilato akawaambia, Kwani, ubaya gani alioutenda? Wakazidi sana kupiga kelele, Msulihishe.


Watu wakasimama, wakitazama. Nao wakuu wakamfanyizia mzaha, wakisema, Aliokoa wengine; na ajiokoe nafsi yake, kama huyu ndiye Kristo wa Mungu, mtenle wake.


na jinsi makuhani wakuu na wakubwa wetu walivyomtoa kwa hukumu ya kufa, wakamsulibisha;


Walakini hatta katika wakubwa wengi walimwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumwungama, wasije wakalolewa katika masunagogi.


Pilato akamwambia, Kweli ni kitu gani? Akiisha kusema neno hili akawatokea Wayahudi marra ya pili, akawaambia, Mimi sioni khatiya yo yote kwake.


Pilato akatokea tena nje akawaambia, Mtu huyu namleta nje kwenu, mpate kufahamu ya kuwa sioni khatiya yo yote kwake.


PALIKUWA na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi;


Na kumbe! ananena waziwazi wala hawamwambii neno? Yumkini wakuhwa wanajua kwa hakika ya kuwa huyu ni Kristo!


Ni nani katika wakubwa amwammiye, au katika Mafarisayo?


Kwa maana wakaao Yerusalemi, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua huyu, wala sauti za manabii wanaosomwa killa sabato, wamezitimiza kwa kumhukumu.


Bassi sasa ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda.


Hatta assubuhi wakubwa na wazee na waandishi wakakusanyika Yerusalemi,


Ndipo Petro, akijaa Roho Mtakatifu, akawaambia,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo