Luka 22:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Akaenda zake akasema na makuhani wakuu na majemadari jinsi ya kumtia katika mikono yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Yuda akaenda, akajadiliana na makuhani wakuu na walinzi wa hekalu kuhusu atakavyomsaliti Yesu kwao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Yuda akaenda, akajadiliana na makuhani wakuu na walinzi wa hekalu kuhusu atakavyomsaliti Yesu kwao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Yuda akaenda, akajadiliana na makuhani wakuu na walinzi wa hekalu kuhusu atakavyomsaliti Yesu kwao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Yuda akaenda kwa viongozi wa makuhani na kwa maafisa wa walinzi wa Hekalu, akazungumza nao jinsi angeweza kumsaliti Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Yuda akaenda kwa viongozi wa makuhani na kwa maafisa wa walinzi wa Hekalu, akazungumza nao jinsi ambavyo angeweza kumsaliti Isa. Tazama sura |