Luka 22:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192133 Akamwambia, Bwana, pamoja nawe mimi ni tayari kwenda gerezani na kufa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Naye Petro akamjibu, “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Naye Petro akamjibu, “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Naye Petro akamjibu, “Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Petro akajibu, “Bwana, niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na hata katika kifo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Petro akajibu, “Bwana Isa, niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na hata kifoni.” Tazama sura |