Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 22:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Bwana akasema, Simon, Simon, tazama, Shetani amewataka ninyi awapepete kama nganu:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 “Simoni, Simoni! Sikiliza! Shetani alitaka kuwapepeta nyinyi kama mtu anavyopepeta ngano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 “Simoni, Simoni! Sikiliza! Shetani alitaka kuwapepeta nyinyi kama mtu anavyopepeta ngano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 “Simoni, Simoni! Sikiliza! Shetani alitaka kuwapepeta nyinyi kama mtu anavyopepeta ngano.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Isa akasema, “Simoni, Simoni, sikiliza, Shetani ameomba kuwapepeta ninyi wote kama ngano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Isa akasema, “Simoni, Simoni, sikiliza, Shetani ameomba kuwapepeta ninyi wote kama ngano.

Tazama sura Nakili




Luka 22:31
13 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda mlima wa Mizeituni.


Ndipo Yesu akamwambia, Nenda zako, Shetani: kwa maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.


Bwana akamjibu akamwambia, Martha, Martha, unajisumbua na kujifadhaisha kwa ajili ya mambo mengi:


Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Saul, Saul, mbona wanifukuza?


kumtolea Shetani mtu huyo, mwili uadhibiwe, illi roho iokolewe katika siku ya Bwana Yesu.


Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana sisi si wajinga, tunajua fikara zake.


Erevukeni, kesheni; kwa kuwa mshitaki wenu Shetani, kama simba angurumae, huzungukazunguka, akitafuta mtu amle;


Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikinena, Sasa kumekuwa wokofu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake: kwa maana ametupwa mshitaki wa ndugu zetu, awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchaua na nsiku.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo